Tunasafirisha Mizigo Mbalimbali Tanzania

Tunapakia bidhaa za biashara, vifaa vya viwandani na mizigo ya nyumbani, tunasafirisha kwa umakini na uharaka zaidi. 

Maeneo Tunayosafirisha

Tunatoa huduma za usafirishaji kati ya Dar es Salaam na miji ya kati ya Tanzania: Dodoma, Singida, Shinyanga na Mwanza.

Ulinzi na Uhakika wa Mizigo Yako

Mizigo yako inalindwa, inafuatiliwa, na kufikishwa kwa wakati.
Hakuna wasiwasi, hakuna hasara.

Huduma Zetu

Tunatoa huduma za usafirishaji kati ya Dar es Salaam na miji ya kati ya Tanzania: Dodoma, Singida, Shinyanga na Mwanza.

01.

Usafirishaji wa Mizigo ya Biashara

Kutoka bidhaa ndogo hadi mizigo mikubwa ya kampuni.

02.

Usafirishaji wa Mizigo Binafsi

Tunasafirisha vifaa na bidhaa kwa wateja wa nyumbani .

03.

Usalama wa Mizigo Yako

Tunatambua thamani ya kila mzigo, hakuna upotevu au uharibifu.

Kuhusu Raphael Transport

Tupo Jangwani Mafuso, Dar es Salaam, na kwa zaidi ya miaka 5 tumekuwa tukihudumia biashara na watu binafsi kwa kusafirisha mizigo yao kwa usalama na ufanisi.

Tunajua changamoto za usafirishaji nchini — kuchelewa kwa mizigo, uharibifu wa bidhaa, na gharama zisizoeleweka. Ndiyo maana tumejipanga kuhakikisha kila mzigo unaosafirishwa nasi unafika salama, kwa wakati, na kwa gharama inayolingana na thamani ya huduma.

10+

Miaka ya uzoefu

5

Mikoa Tunayosafirisha

70+

Mizigo Iliyosafirishwa

90+

Mizigo kufika kwa wakati

Shuhuda za Wateja

Nashukuru sana Raphael Transport kwa kunifikishia mzigo wangu ukiwa salama na haraka zaidi. Sinashaka na huduma yenu.

Joseph Mussa

Huduma yenu ni ya kipekee, sioni sababu ya kutumia mwingine. Ninachopenda zaidi ni gharama zenu nafuu.

Enock Gwakson

Mizigo yangu yote kutoka Dar es salaam ilifika salama bila kuchelewa. Shukrani sana mnafanya kazi kwa uaminifu mkubwa.

Kassim Abdul

+255 758 062 148
info@raphaeltransport.co.tz
Dar es salaam, Jangwani Mafuso.

Copyright 2025 – All Right Reserved
Privacy Policy – Terms of Use